Tuesday 17 May 2011

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL KATIKA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO PEMBA.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohamed Gharib Bilal, akifunua kitambaa ikiwa ni ishara ya kuweka jiwe la Msingi katika   Ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya Tawi la Mtambile iliyopo Wilaya ya Mkoani, Mkoa wa Kusini Pemba jana Mei 16, wakati akiwa katika ziara yake ya kukagua miradi ya Maendeleo katika Mikoa ya Kusini na Kaskazini Pemba.

No comments:

Post a Comment