Wednesday 18 May 2011

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWEKA JIWE LA MSINGI SHULE YA MSINGI MJIMBINI KUSINI PEMBA.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohamed Gharib Bilal, akipunga mkono kuwaaga wanafunzi wa Shule ya Msingi Mjimbini iliyopo Mkoa wa Kusini Pemba, baada ya kuweka jiwe la Msingi katika shule hiyo leo Mei 18, akiwa katika ziara yake ya kukagua maendeleo ya miradi ya Serikali kwenye mikoa ya Kaskazini na Kusini Pemba. Picha na Muhidin Sufiani-OMR

No comments:

Post a Comment