Wednesday 18 May 2011

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKAGUA UJENZI WA BARABARA YA MIZINGANI PEMBA.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohamed Gharib Bilal, akiangalia maendeleo ya ujenzi wa Barabara ya Mizingani Wambaa, yenye urefu wa Kilometa 9.7 inayoendelea kujengwa, wakati alipotembelea na kukagua akiwa katika ziara ya kukagua maendeleo ya miradi ya Serikali kwenye mikoa ya Kaskazini na Kusini Pemba leo Mei 18. Aliyesimama upande wa kushoto wa Makamu wa Rais ni Ofisa msimamizi kutoka Wizara ya Mawasiliano na Miundombinu Zanzibar, Hamadi Baucha. Picha na Muhidin Sufiani-OMR

No comments:

Post a Comment