Tuesday 17 May 2011

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA WAZIRI WA UINGEREZA.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohamed Gharib Bilal, akizungumza na Waziri wa Uingereza wa Masuala ya Kimataifa (Maendeleo), Stephen Obrien, wakati walipokutana kwa ajili ya mazungumzo katika moja ya ukumbi wa mikutano uliopo katika Ukumbi wa Plenary, ulipofanyika mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu Maendeleo ya Nchi Masikini Duniani. Kushoto ni Msaidizi wa Waziri huyo, Greg Hicks (kulia) ni Balozi mdogo wa Tanzania nchini Italia, Salvator Mbilinyi na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Mahadhi Juma Maalim.

No comments:

Post a Comment