Sunday 8 May 2011

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA WAJUMBE WA KAMATI YA KUDUMU YA BARAZA LA WAWAKILISHI.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohamed Gharib Bilal, akizungumza na Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Baraza la Wawakilishi (Hesabu za Serikali) Zanzibar, wakati walipofika Ikulu Dar es Salaam jana, kwa ajili ya mazungumzo na kumsalimia baada ya kumaliza mafunzo ya siku nne ya kamati hiyo kuhusu Usimamizi na Matumizi ya fedha za Serikali, yaliyomalizika hivi karibuni jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment