Saturday 26 November 2011

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, ahudhuria Mahafali ya 23 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia Viongozi na wahitimu katika ngazi mbalimbali kwenye mahafali ya 23 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika tarehe 26 Nov 2011, Bungo Kibaha Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment