Saturday 19 November 2011

MAKAMU WA RAIS APOKEA MADAI YA WANANCHI KUHUSU MABADILIKO YA TABIA NCHI.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza wakati wa Kongamano la Msafara wa kuelekea katika mkutano wa mabadfiliko ya Tabia Nchi unaotarajia kufanyika Durban Afrika ya Kusini mwezi ujao. Kongamano hilo limefanyika Novemba 15, 2011 kwenye Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment