Saturday 19 November 2011

MAKAMU WA RAIS DKT BILAL AFUNGUA MDAHALO WA NAFASI YA UMUHIMU WA KATIBA KTK MAISHA YA WATANZANIA.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake wakati akifungua Mdahalo wa Nafasi ya Umuhimu wa Katiba katika Maisha ya Watanzania, uliofunguliwa Novemba 17, katika Jumba la Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment