Friday 9 September 2011

MAKAMU WA RAIS DKT BILAL AAGANA NA MABALOZI WA VATICAN NA JAPAN, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Japan nchini Tanzania, Hiroshi Nakagawa, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu Dar es Salaam leo Septemba 9, 2011 kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake nchini.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Balozi wa Vatican nchini Tanzania, Askofu Mkuu Joseph Chennoth, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu Dar es Salaam leo Septemba 9, 2011 kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake nchini. Balozi Chennoth amekaa nchini miaka sita.

No comments:

Post a Comment