Tuesday 13 September 2011

MAKAMU WA RAIS AWAFARIJI WALIOPOTELEWA NA NDUGU KATIKA AJALI YA MELI ZANZIBAR.


 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na viongozi na wakazi wa Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja, wakati alipofika katika eneo hilo kwa ajili ya kuwafariji wakazi hao waliopatwa na matatizo pamoja na kukagua shughuli za uokoaji zinazoendelea.

No comments:

Post a Comment