Wednesday 25 April 2012

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AADHIMISHA SIKU YA MALARIA DUNIANI NA KUZINDUA RIPOTI YA MAFANIKIO A UTEKELEZAJI WA MIKAKATI YA MALARIA TANZANIA BARA.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisoma hotuba yake wakati wa Kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Malaria
Duniani, zilizofanyika leo Aprili 25, 2012 katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es
Salaam. Katika sherehe hizo pia Makamu wa Rais alizindua Ripoti ya utekelezaji wa mikakati ya malaria, Tanzania Bara.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akikata utepe, kuzindua Ripoti ya Mafanikio ya Utekelezaji wa Mikakati ya Malaria kwa
upande wa Tanzania Bara, wakati wa sherehe za maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Malaria
Duniani zilizofanyika kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam leo Aprili 25,
Katikati ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Haji Mponda (wapili kushoto) ni Kaimu
 mkuu wa Wilaya za Kinondoni, Temeke na Ilala, Jordan Lugimbana.
 

No comments:

Post a Comment