Friday 11 May 2012

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ATOA MSAADA KWA VITUO VIWILI VYA WATOTO YATIMA DAR.

 Msaidizi wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, eneo la Makaazi,
Peleleja Masesa (kushoto) akimkabidhi sehemu ya msaada wa vyakula, Mkurugenzi Mkuu wa
Kituo cha kulelea Watoto Yatima cha Orphanasi Trust Fund Msongola, Deusdelit Mitauto, kwa
niaba ya Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal. Makabidhiano hayo yalifanyika jana jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment