Saturday 9 July 2011

MABALOZI WA FINLAND NA UJERUMANI NCHINI TANZANIA WAMUAGA MAKAMU WA RAIS DKT BILAL

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Finland nchini Tanzania,  Juhan Toivonen , wakati alipofika ofisini kwake Ikulu Dar es Salaam, Julai 04, 2011 kwa ajili ya kumuaga rasmi baada ya kumaliza muda wake nchini. Picha na Muhidin Sufiani-OMR

No comments:

Post a Comment