Tuesday 6 March 2012

MAKAMU WA RAIS DKT BILAL AFUNGUA MKUTANO WA SIKU MBILI WA KIMATAIFA WA KUPEANA UZOEFU KUHUSU MALIPO YANAYOTOKA KWA WAFADHILI KWA UFANISI.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt.Haji Mponda, baada ya kufungua mkutano wa siku mbili wa Kimataifa wa kujadili na kubadilishana mawazo kuhusu ufadhili wa mkiradi yenye ufanisi katika nchi saba za Afrika Mashariki, ulioanza leo Machi 6, 2012 jijini Dar es Salaam.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Kimataifa wa siku wenye lengo la kujadili na kubadilishana mawazo kuhusu ufadhili wa mkiradi yenye ufanisi katika nchi saba za Afrika Mashariki, ulioanza leo Machi 6, 2012 jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment