Thursday 9 February 2012

MAKAMU WA RAIS DKT BILAL AKUTANA NA MABALOZI WA NORWAY NCHINI TANZANIA.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akizungumza na Balozi wa Norway nchini Tanzania, Ingunn Klepsivik, wakati alipofika Ofisini
kwake Ikulu Dar es Salaam,Februari 7, 2012 kwa mazungumzo. Picha na Muhidin Sufiani-OMR
 
 

No comments:

Post a Comment