Wednesday 12 October 2011

MAKAMU WA RAIS DKT BILAL ATOA POLE MSIBA WA MTOTO WA MWAPACHU

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitia saini katika Kitabu cha maombolezo cha Harith Mwapachu, ambaye ni mtoto wa Balozi Juma Mwapachu, aliyefariki dunia jana Oktoba 11, 2011.Kulia ni Balozi Juma Mwapachu.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha (CHADEMA) Freeman Mbowe, wakati walipokutana katika msiba wa mtoto wa Balozi Juma Mwapachu.

No comments:

Post a Comment