Monday 29 August 2011

RAIS DKT. JAKAYA NA MAKAMU DKT. BILAL WAFUTURU PAMOJA NA WANANCHI DAR.

Rais Dkt. Jakaya Kikwete, Makamu wake Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Meck Dadick, wakiomba dua kwa pamoja baada ya kupata futari iliyoandaliwa na mwenyeji wao Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika makazi yake Oysterbay jijini jana.

No comments:

Post a Comment